Mshambuliaji wa timu ya Yanga , Hamis Kiiza (kulia) akiwania mpira na beki wa timu ya Simba, Nassor Masoud, katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam leo.hadi mwisho wa mchezo,matokeni Yanga 1-1 Simba.
Mshamuliaji wa pembeni wa timu ya Yanga,Simon Msumva (kulia) akijaribu kuwatoka mabeki wa timu ya Simba, katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam leo.hadi mwisho wa mchezo,matokeni Yanga 1-1 Simba.
Mshambuliaji wa timu ya Yanga Didier Kavumbagu (katikati) akiwatoka mabeki wa timu ya Simba katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam leo.hadi mwisho wa mchezo,matokeni Yanga 1-1 Simba.
Wachezaji wa timu ya Yanga,wakishangilia goli lao la kusawazisha.
Mbona hii habari imekaa ki yanga yanga tuu...
ReplyDeleteMwandishi wa hii habari ni yanga tupu
ReplyDeletehahahaahhahaha
ReplyDeletehAYA NDIO MATATIZO YA TIMU AMBAYO LIGI NZIMA INAPANIA KUIFUNGA YANGA TU NA MATOKEO YAKE INAISHIA KUPATA SARE HUKU IKIFUNGWA MECHI SITA NA TIMU NYINGINE KWENYE LIGI HIYO HIYO
ReplyDelete