Taswira za  Uhamiaji House, jengo la Idara ya Uhamiaji ambamo  shughuli zote za mambo ya uhamiaji zinafanyika maeneo ya  Kurasini, wilaya ya Temeke, (nyuma ya Chuo cha Diplomasia), jijini Dar es salaam. Awali shughuli za uhamiaji zilikuwa zikifanyika katika jengo la Wizara ya Mambo ya Ndani katikati ya jiji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 23, 2014

    Mbona walishahamisha siku nyingi? Miaka miwili iliyopita nilihitaji huduma zao na ilkuwa kurasini.

    ReplyDelete
  2. kero ya pale hakuna car park. barabara imekuwa na vurugu kweli, gari zajisimamia barabarani ovyo. wakazi wa mtaa wa Loliondo wanapata shida sana kutoka na kuingia majumbani kwao. unawekaje ofisi kubwa kama ile bila maandalizi? kuna kampuni iko pale inakusanya ushuru wa kupaki barabarani bila hata aibu!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 23, 2014

    Pamoja na Uhamiaji kuwasili kamili Makao Makuu Mapya je Vishoka wapo?

    N abei ya Pasipoti sasa ni 'LAKI NGAPI'?

    Je, kama nilivyo sikia tuna mpango wa kingiaza ''Biometric Passport Version'' yaani Pasi zinazotoa utambuzi wa asilia za Kibaolojia kama ule mfumo wa National ID wa NIDA je zityaanza kutoka lini?, na hapo Pasipoti itakuwa Milioni ngapi? !!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...