Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Mhe Joshua Nassari  akizungumza wakati wa tafrija ya chakula cha jioni baada ya mahafali ya kuhitimu mafunzo ya wiki tisa kwa viongozi vijana toka nchi mbalimbali za Afrika yaliyokuwa yakifanyika chuo kikuu cha Arkansas nchini Marekani.
Hotuba ya Mh,Nassari ilionekana kuwagusa wageni mbalimbali katika tafrija hiyo 
Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Mhe Joshua Nassari akipokea cheti toka kwa  Mstahiki Meya wa Fayetteville Arkansas Mhe Lioneld Jordan.
Wahitimu ,viongozi vijana toka nchi mbalimbali Afrika.
Ratiba ya Viongozi vijana toka nchi mbalimbali barani Afrika ambayo inaonesha leo hii wahitimu hao akiwemo Mh Joshua Nassari na Naibu Waziri wa Nishati na Madini,Mh Stephen Masele wanakutana na Mke wa rais wa Marekani Michelle Obama na baadaye jioni kukutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani,John Kerry.Masele alikuwa chuo kikuu cha Florida na Nassari alikuwa chuo kikuu cha Arkansas.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...