Sehemu
ya Watoto yatima wanaolelewa na Kituo cha Tanzania Mitindo Houshe chini
yake Mwanamitindo nguli hapa nchini,Khadija Mwanamboka wakiwa kwenye
picha ya pamoja na baadhi ya wasimamizi wao wakati wa sherehe ya
kuadhimisha miaka 7 ya kituo hicho iliyofanyika mwishoni mwa
wiki,Msasani jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya watoto hao wakifurahia kwa pamoja michezo mbali mbali iliyokuwepo.
Taswira ya mtoto akiwa kachora uso wake.
Mlezi wa Tanzania Mitindo House,Mwanamitindo,Khadija Mwanamboka akikata keki pamoja na Watoto wanaolelewa kwenye kituo hicho.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...