Mbunge
wa jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro na Mwenyekiti wa chama cha TLP, Dkt. Augustine Lyatonga
Mrema akihutubia katika mkutano wa hadhara jimboni kwake jana kwa ajili
ya kuhamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa na pia kuelezea utekelezaji
wa miradi ya Maendeleo.
Katika jimbo hilo la Vunjo kumekuwepo na Mvutano mkubwa wa kuliwania katika uchaguzi mkuu wamakani ambapo kwa vyama vya CCM tayari kijana Innocent Shirima ameshatangaza nia kama alivyofanya Mh. James Mbatia wa NCCR-Mageuzi.
Katika jimbo hilo la Vunjo kumekuwepo na Mvutano mkubwa wa kuliwania katika uchaguzi mkuu wamakani ambapo kwa vyama vya CCM tayari kijana Innocent Shirima ameshatangaza nia kama alivyofanya Mh. James Mbatia wa NCCR-Mageuzi.
Du! Bonge la umati!
ReplyDeleteChezea Mzee wa kilachalacha
ReplyDeleteKikao cha wanaukoo nini?
ReplyDeleteWatu wamejaa mpaka wanakanyagana. Anakubalika sana huyu
ReplyDeleteHao inaelekea ni washkaji wake wa siku nyingi sana, ha ha ha ha haaaaa, hayo ndio matunda ya kuwasaliti wanainchi, wenzake wakati wanasusia vikao vya bmk yeye aliwaponda sasa karudi kwa wanainchi hawataki hata kumwona, ukipanda mkaratusi usitaraji kuvuna zabibu, Mzee Lyatonga umechafua hali ya hewa jimbo unalikosa hivi hivi mwakani
ReplyDeleteAnavuna alichopanda unafiki kwa unafiki uzuri kwa uzuri,ushauri wa bure Mrema rudi CCM huwezi kuhubiri uccm ukiwa upinzani watu weshafunguka macho
ReplyDeleteMrema pumzika waachie vijana utaaziriwa
ReplyDeleteIla hapo pia kuna SOMO, huenda hao wachache wakawa na maana kuliko umati unaojitokeza kwenye mikutano ya vyama vingine vya upinzani namaanisha hao pengine ndio waliojiandikisha, wanaushawishi kwenye kaya watokazo na wanadi sera wazuri mwisho wapigaji kura, tofauti na wanaojaa kwenye mikutano mingine wao wako kinyume
ReplyDelete