Kamishna wa Madini, Mhandisi Paul Masanja (kushoto) akieleza jambo kabla ya ufunguzi wa Kikao cha Kazi cha Idara ya Madini. Katikati ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Bw. Alfred Shayo ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika kikao hicho.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Bw. Alfred Shayo (katikati) akifungua rasmi kikao cha Kazi cha Idara ya Madini kilichofanyika hivi karibuni katika hoteli ya Kings Way ya Mkoani Morogoro. Kushoto ni Kamishna wa Madini, Mhandisi Paul Masanja na kulia ni Kamishna Msaidizi wa Madini- Uratibu, Mhandisi John Shija.


Baadhi ya wajumbe walioshiriki katika kikao cha kazi cha Idara ya Madini wakifuatilia mada iliyokuwa ikitolewa katika kikao hicho.
Kamishna wa Madini, Mhandisi Paul Masanja (kushoto) akimsikiliza Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Bw. Alfred Shayo wakati wa ufunguzi wa kikao cha kazi cha Idara ya Madini kinachofanyika katika hoteli ya King’s Way ya Mkoani Morogoro.
Kamishna wa Madini, Mhandisi Paul Masanja (wanne kutoka kushoto, waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa kikao cha kazi cha Idara ya Madini kilichofanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Kings Way ya Mkoani Morogoro. Kushoto kwake ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Bw. Alfred Shayo ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika kikao hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...