Ndugu
wa Marehemu Sebastian Mgimba Philipo Mgimba (katikati) akiwa amebeba
msalaba huku pembeni ndugu mwingine akiwa pamoja na picha ya marehemu
wakati wa misa fupi ya mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya
Kinondoni jijini Dar Es Salaam leo.
Dada
wa Marehemu Sebastian Mgimba, Mariam akiwa na ndugu zake wakati wa sala
ya mazishi iliyofanyika katika makaburi ya Kinondoni leo
Rafiki wa Marehemu akiweka udongo kwenye kaburi la Marehemu Sebastian Mgimba mara baada ya sala fupi ya mazishi kufanyika
Baba
Mzazi wa Marehemu Sebastian Mgimba, Mzee Mgimba pamoja na Mama wakiwa
na shada la maua tayari kwa kuweka juu ya kaburi la Mtoto wao Marehemu
Sebastian Mgimba.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...