Balozo Mdogo wa Tanzania Dubai Mhe Omar Mjenga na Dkt. Asghar Farshad wa hospitali ya Iran huko Dubai wakitia saini makubaliano ambapo hospitali hiyo imetoa ofa ya punguzo la asilimia 40 ya malipo ya matibabu kwa Mtanzania yeyote atayekwenda kutibiwa hapo Iranian Hospital Dubao
Balozo Mdogo wa Tanzania Dubai Mhe Omar Mjenga na Dkt. Asghar Farshad wa hospitali ya Iran huko Dubai wakibadilishana hati za makubaliano ambapo hospitali hiyo imetoa ofa ya punguzo la asilimia 40 ya malipo ya matibabu kwa Mtanzania yeyote atayekwenda kutibiwa hapo Iranian Hospital Dubao
Balozo Mdogo wa Tanzania Dubai Mhe Omar Mjenga na Dkt. Asghar Farshad wa hospitali ya Iran huko Dubai wakionesha hati za makubaliano ambapo hospitali hiyo imetoa ofa ya punguzo la asilimia 40 ya malipo ya matibabu kwa Mtanzania yeyote atayekwenda kutibiwa hapo Iranian Hospital Dubao
Huyu kijana anapenda kuonyesha kazi zake!!!
ReplyDeleteMkataba umesainiwa. Hakuna 'details' za jina la hospitali wala huduma wanazo toa.. Ni vyema na hilo lingewekwa hadharani. Itapunguza umbali wa kusafiri kwenda India
ReplyDeleteSasa mkuu hujuu kusoma au...., imeanfikwa Iran Hospital Dubai , ni hospital kubwa na huduma zake nzuri saana na mabingwa wa magonjwa yote
ReplyDeleteLabda naweza kuokoa maisha ya WaTanzania.Naona suluhisho la kudumu ni kuwekeza huduma za afya nchini na sio kukimbilia India na Dubai...soma hii...
ReplyDeleteIranian hospital Dubai.....worst hospital with worst surgeons
Dr Tabari - Mohamad Reza...was the doctor who did my surgery the surgery was nose surgery ..the staff was so ignoring and so rude ...after the surgery i had problems with breathing ..bleeding ..and my eyes were black plus the shape of my nose is badly outshaped ...whole shape is desroyed and now it is so ugly... and it is still after 5 months of the surgery...i have lost every thing ...my life is a mess now ..i was a 1000 times better than this befor ethe surgery ...the doctor started abusing mw with rude words when i came back to him " saying that nothing can be done get the hell out of here plus abused me a lot" ...he was so opposite and friendly before the surgery ...please please my life is destroyed and i dont want any ones else life to be destroyed ...dont ever think of going to this hospital for anything and espically ti this dr Tabari - Mohamad
Tuimarishe za kwetu hapa nyumbani. Wa Tanzania wangapi wata afford kwenda kutibiwa Dubai hata kwa punguzo la 70%?
ReplyDeleteTuimarishe kweli zetu nchini. Hao mabalozi waachane na hiyo ten au twelve au fifteen%.
ReplyDeleteWarioba anaseka hizo % ni zawadi kwa umma ziwekwe kwenye hazina kwa ajili ya maendeleo; sio zao kibindoni!