Bibi Harusi Mtarajiwa Noreen Mhina akiwa katika nyuso ya Furaha, jana tarehe 25.11.2014
Bibi Harusi Mtarajiwa Noreen akiwa amempata Mume wake mtarajiwa Leonard Baada ya kumsaka ukumbi Mzima kwa ajili ya kumtambulisha kwa wageni waalikwa .
Bibi harusi Mtarajiwa Noreen akimvisha Mume wake mtarajiwa Leonard zawadi ya Saa Mara baada ya kutambulishwa Rasmi wa wageni waliofika katika Sherehe ya kumuaga.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...