Mtangazaji mashuhuri wa BBC Swahili Charles Hilary (kati) akiwa na kipa wa zamani wa timu ya Taifa ya Cameroun na klabu ya Marseille ya Ufaransa Joseph-Antoine  Bell pamoja na kocha wa Congo Brazaville Claude Le Roy walipokutana jijini Malabo, Equatorial Guinea kwenye michuzo ya kombe la Afrika. Bell ameshacheza katika michuzno ya kombe la dunia mara tatu (198219901994), na pia kwenye michuano ya Olimpiki 1984 Summer Olympics na kwenye kombe la African Cup of Nations
Watangazji wa BBC Swahili, Charles Hilary na Salum Kikeke wakiwa katika uwanja wa Bata nchini Equatorial Guinea kutangaza moja kwa moja michuano ya robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika hii leo kati ya Congo Brazaville na Congo DRC ambapo hadi mapumziko ni 0-0
 kipa wa zamani wa timu ya Taifa ya Cameroun Joseph- Antoine Bell akiwa langoni pake enzi hizo  kipa wa zamani wa timu ya Taifa ya Cameroun Joseph Anthonie Bell 
Joseph-Antoine Bell akipambana na Bebeto wa Brazil kwenye kombe la dunia 1994

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...