Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema (kushoto), akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi baada ya kumaliza mbio zake wilayani Temeke Dar es Salaam leo asubuhi. Mwenge huo umeanza mbio zake wilayani Ilala leo na kesho utakabidhiwa wilaya ya Kinondoni.
 Vijana wa hamasa wa wilaya ya Ilala wakishangilia katika hafla hiyo ya kukabidhiwa mwenge huo.
 Mwenge ukiwasiri Kata ya Ukonga tayari kwa kukimbizwa wilaya ya Ilala.

PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 28, 2015

    Kina Rama Makunja wanashangaza sana! mwenge ni kitu cha furaha na mila tuliachiwa na mwalimu Nyerere lakini kina ras makunja wao ni magitaa mkononi kila wakati

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 28, 2015

    kina ras makunja wamependeza

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...