Rais Magufuli amsimamisha kamishna mkuu wa mapato nchini TRA, Papa Fransis Amfufua Mwl. Nyerere. Pata Dondoo za Magazeti ya leo. https://youtu.be/db6i8O15OLQ
Star TV
Kasi Ya Magufuli Yamsomba Bosi TRA, Wamachinga walalamikia Ziara Ya Papa Nchini Uganada,. Pata Dondoo za Magazeti hapa. https://youtu.be/_sBpbbkShXo
CH 10
Biashara ya Dawa Maduka Ya Muhimbili Yavurugwa, Magufuli afunga kufuli TRA, UKAWA kumuaga Mawazo kwa saa 5. https://youtu.be/y-_V5gOzsIE
Azam TV
5 wampasua Kichwa Pluijm, Simba Yapangua hujuma Nzito, Van Gaal amgwaya Vardy wa Leicester, habarika Na Michezo hapa. https://youtu.be/JLRl4gavgO0
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...