Uchafu wa aina mbalimbali ukiwa umeziba kabisa mitaro pembeni mwa barabara ipitayo pembzoni mwa uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma leo. Uchunguzi unaonesha kuwa karibu mitaro ya mji mzima wa Dodoma imezibwa hivyo. 

Hatukufanya juhudi za kuwatafuta wahusika kwani kama mtu anajua wajibu wake kwa nini akumbushwe?? Na kama hajui wajibu wake na anafanya kazi kwa mazoea....Wahusika mpo??



Ngoma inaishia hapa....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 03, 2016

    Uchafu katika mitaro uondolewe makao ili mitaro iweze kufanya kazi ya kuelekeza maji ya mvua kaa ilivyopangiwa.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 03, 2016

    Duh, Usafi Bongo kazi bado ipo sana!!!. Hopefully wahusika wanayaona haya. Good job Uncle kwa kulivalia njuga swala hili. Keep it up.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 04, 2016

    makubwaaa....juzi jumamosi si ilikuwa siku ya usafi jamani? sasa wao walifanya usafi wapi mbona inashangaza? hao viongozi wa manispaa waache kuzuga kufanya usafi wahakikishe wanasimamia kikamilifu hilo zoezi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...