Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila (wa tatu kutoka kushoto), pamoja na watendaji wakuu wa wizara, wakifuatilia kwa makini taarifa ya Maendeleo ya Master Plan ya miji ya Arusha na Mwanza, iiliyokuwa ikitolewa na Wataalam wa Mradi wa kuendeleza miji hiyo wa Kampuni ya Surbana ya nchini Singapore. Master plan hizo,zinatarajiwa kukamilika ifikapo; Agosti 19, 2016.
Home
Unlabelled
MAENDELEO YA MIPANGO KABAMBE KWA MAJIJI YA ARUSHA NA MWANZA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...