Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dkt. Yamungu Kayandabila (wa tatu kutoka kushoto), pamoja na watendaji wakuu wa  wizara, wakifuatilia kwa makini taarifa ya Maendeleo ya Master Plan ya miji ya Arusha na Mwanza, iiliyokuwa ikitolewa na Wataalam wa Mradi wa kuendeleza miji hiyo  wa Kampuni ya Surbana ya nchini Singapore. Master plan hizo,zinatarajiwa kukamilika ifikapo; Agosti 19, 2016.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...