Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(kushoto)akimsaidia kutoa pesa kiasi cha shilingi Milioni 1/=Gilibert Lutwaze(katika)kwa njia ya huduma ya  M-Pesa, alizojishindia katika promosheni ya ‘Kamata Mpunga’inayowawezesha wateja wa mtandao huo kujishindia pesa taslimu kuanzia shilingi Milioni 1 hadi 100.Mwingine katika picha ni mshindi wa promosheni hiyo, Pascal Mahoni(kulia)aliyejishindia kitita cha shilingi Milioni 5/= Ili mteja aweze kushiriki katika promosheni hii anatakiwa kutuma neno “GO”kwenda namba 15544aidha mteja anaweza kujiunga moja kwa moja kwa kutuma neno”WIN”kwenda namba 15544 na mteja atapata ujumbe wa kujibu maswali.

 Mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 5/=kupitia promosheni ya”Kamata Mpunga” inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Pascal Mahoni mkazi wa Mkuranga mkoa wa Pwani(kulia)akipokea kitita chake leo toka kwa Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo,Matina Nkurlu(kushoto) katika ni mshindi mwingine wa Milioni 1/= Mkazi wa Sinza jijini Dar es Salaam,Gilibert Lutwaze.
 Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(kushoto)na Kaimu Meneja wa duka la kampuni hiyo,Mlimani City jijini Dar es Salaam,Said Ndomondo(kulia)wakiwashuhudia washindi wa promoshe ya”Kamata Mpunga”inayoendeshwa na kampuni hiyo,wakihesabu pesa zawa mara baada ya kukabidhiwa leo,wapili kulia ni mshindi wa Milioni 5/=Pascal Mahoni ambaye ni mkazi wa Mkuranga mkoa wa Pwani, Mshindi wa Milioni 1/=Pamela Komba na Gilibert Lutwaze,wote ni wakazi wa jijini.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(kushoto)akimkbidhi kitita cha pesa kiasi cha shilingi Milioni 1/=Gilibert Lutwaze alizojishindia katika promosheni ya ‘Kamata Mpunga’inayowawezesha wateja wa mtandao huo kujishindia pesa taslimu kuanzia shilingi Milioni 1 hadi 100
 Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(kushoto)akimkabidhi mkazi wa Sinza jijini Dar es Salaam, Gilibert Lutwaze(wapili kushoto)kitita cha shilingi Milioni 1/=alizojishindia kupitia promoshe ya”Kamata Mpunga”inayoendeshwa na kampuni hiyo,wengine katika picha Mshindi wa Milioni 1/=Pamela Komba(katikati)na mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 5/= Pascal Mahoni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...