Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (kulia) na Balozi
wa Canada Nchini Tanzania, Alexandre Lévêque (kushoto) wakiwa katika
picha ya pamoja.
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (kulia) akimweleza Balozi wa Canada Nchini Tanzania, Alexandre Lévêque (kushoto) mikakati ya Serikali katika uboreshaji wa sekta ya nishati nchini.
Naibu Katibu Mkuu wa Nishati na Madini anayeshughulikia Madini Prof. James Mdoe (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu wa Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati Dk. Juliana Pallangyo (kulia) wakifuatilia mazungumzo kati ya Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na Balozi wa Canada Nchini Tanzania, Alexandre Lévêque (hawapo pichani)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...