Mkuu wa kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Naibu Kamishna wa Polisi, Mohamed Mpinga akizindua mashindano ya baiskeri katika viwanja vya Ccm Karangalala yaliofanyika jana katika Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama wilaya ya Geita mjini mkoani Geita
Mkuu wa kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Naibu Kamishna wa Polisi, Mohamed Mpinga akizungumza na washiriki wa mashindano ya baiskeri katika viwanja vya Ccm Karangalala yaliofanyika siku ya jana katika Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama yaliofanyika katika wilaya ya Geita mjini mkoani Geita.
Mkuu wa kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Naibu Kamishna wa Polisi, Mohamed Mpinga aliepakiwa na kuonyesha ukaaji salama katika usafiri wa baiskeri unaotumika kama chombo cha usafiri mkoani Geita ndani ya viwanja vya Ccm Karangalala katika siku ya Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama yanayoendelea katika wilaya ya Geita mjini mkoani Geita. (Picha na Trafiki kuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...