Mashabiki wa Timu ya Yanga na Simba wakizungumza na Michuzi Tv leo katika Soko la Buguruni jijini Dar es Salaam kuhusu mchezo wa Jumamosi utakaofanyika katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Shabiki wa timu ya Yanga,Ayubu Nampea akizungumza na Michuzi Tv kuhusu mchezo wa yanga na simba utakaofanyika jumamosi hii katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Shabiki wa timu ya Simba, Ramadhan Machenje akizungumza na Michuzi Tv kuhusu mchezo wa Yanga na Simba utakaochezwa jumamosi hii katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...