Mwenyekiti wa Kampuni ya S & E GROUP LTD, Elihuruma Ngowi akitoa maelezo kwa Mchungaji Kiongozi wa K.K.K.T. Usharika wa Mbezi Beach, Allen Mbiso wakati wa ufunguzi wa kampuni za S & E GROUP LTD pamoja na S & E PHOTOS & VIDEO SERVICES LTD hivi karibuni.
Mchungaji Kiongozi wa K.K.K.T. Usharika wa Mbezi Beach, Mch. Allen A. Mbiso (kulia) akifanya maombi na hatimaye kufungua rasmi ofisi za Kampuni ya S & E GROUP LTD pamoja na Kampuni ya S & E PHOTOS & VIDEO SERVICES LTD hivi karibuni. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kampuni hizo, Elihuruma Ngowi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...