Mwenyekiti wa Kampuni ya S & E GROUP LTD, Elihuruma Ngowi akitoa maelezo kwa Mchungaji Kiongozi wa K.K.K.T. Usharika wa Mbezi Beach, Allen Mbiso wakati wa ufunguzi wa kampuni za S & E GROUP LTD pamoja na S & E PHOTOS & VIDEO SERVICES LTD hivi karibuni.
Mchungaji Kiongozi wa K.K.K.T. Usharika wa Mbezi Beach, Mch. Allen A. Mbiso (kulia) akifanya maombi na hatimaye kufungua rasmi ofisi za Kampuni ya S & E GROUP LTD pamoja na Kampuni ya S & E PHOTOS & VIDEO SERVICES LTD hivi karibuni. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kampuni hizo, Elihuruma Ngowi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...