Kamishna wa Maadili kutoka Sekretarieti ya
Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu Harold Nsekela akimpokea Mkuu wa Jeshi
la Ulinzi Tanzania(CDF), Jenerali Venance Salvatory Mabeyo alipowasili katika
Ofis za Sekretari hiyo kwa ajili ya kula kiapo cha Uadilifu leo Jijini Dar es
Salaam.
Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali
Venance Salvatory Mabeyo akila Kiapo cha Uadilifu kwa Viongozi wa Umma leo
Jijini Dar es Salaam. Kulia anayeshuhudia ni Kamishna wa Maadili wa
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela leo
Jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali
Venance Salvatory Mabeyo akitia saini katika Hati ya Kiapo cha Uadilifu kwa
Viongozi wa Umma leo Jijini Dar es Salaam. Kulia anayeshuhudia ni Kamishna wa
Maadili wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Harold
Nsekela leo Jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali
Venance Salvatory Mabeyo akipokea Hati ya Kiapo cha Uadilifu kwa Viongozi wa
Umma kutoka kwa Kamishna wa Maadili wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa
Umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela leo Jijini Dar es Salaam.
Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania,
Luteni Jenerali James Alois Mwakibolwa akila Kiapo cha Uadilifu kwa Viongozi wa
Umma leo Jijini Dar es Salaam. Kulia anayeshuhudia ni Kamishna wa Maadili wa
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela leo
Jijini Dar es Salaam.
Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania,
Luteni Jenerali James Alois Mwakibolwa akitia saini katika Hati ya Kiapo cha
Uadilifu kwa Viongozi wa Umma leo Jijini Dar es Salaam. Kulia anayeshuhudia ni
Kamishna wa Maadili wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji
Mstaafu Harold Nsekela leo Jijini Dar es Salaam.
Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi Tanzania,
Luteni Jenerali James Alois Mwakibolwa akipokea Hati ya Kiapo cha Uadilifu kwa
Viongozi wa Umma kutoka kwa Kamishna wa Maadili wa Sekretarieti ya Maadili ya
Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela leo Jijini Dar es Salaam. Picha na Frank Shija – MAELEZO.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...