Umati wa wakaazi wa Mbagala waliojitokeza kwenye mkutano wa sheikh shariff uliofanyika Jumapili tarehe 26-02-2017 katika viwanja vya ZAKHEIM Mbagala jijini Dar es salaam.Mkutano huo ndio ulikuwa wa mwisho baada ya kuwa umefanyika kwa siku tatu kuanzia Ijumaa 24-02-2017.
Sheikh Shariff akiongea katika mkutano wa mwisho uliofanyika Mbagala Zakheim jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na mamia ya watu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...