Umati wa wakaazi wa Mbagala waliojitokeza kwenye mkutano wa sheikh shariff uliofanyika Jumapili tarehe 26-02-2017 katika viwanja vya ZAKHEIM Mbagala jijini Dar es salaam.Mkutano huo ndio ulikuwa wa mwisho baada ya kuwa umefanyika kwa siku tatu kuanzia Ijumaa 24-02-2017.
Sheikh Shariff akiongea katika mkutano wa mwisho uliofanyika Mbagala Zakheim jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na mamia ya watu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...