Dr.
Servacius Likwelile Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali
akiwa na Magavana wa Benki ya Dunia na
Shirika la fedha la kimataifa wa Mashariki na Kusini mwa Afrika kwenye
majadiliano ya kukuza uchumi katika mkutano wa MEFMI. Aliyesimama mbele ni Bi.
Arunma Oteh Makamu wa Rais na Mweka hazina.
Ujumbe kutoka Tanzania ukimsikiliza Katibu Mkuu
Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali
Dr. Servacius Likwelile katika ofisi ya Tanzania nchini Peru- Lima
Wa pili kutoka kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya
Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Sirvacius Likwelile akisikilizwa kwa
makini na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson Masilingi wa pili
kutoka kushoto na Bw. Said Magonya wa kwanza kulia ambaye ni Kamishna wa Fedha
za Nje Wizara ya Fedha na Bw. Bedason
Shallanda wa kwanza kushoto ambaye ni Kamishna wa Sera Wizara ya Fedha
Dr.
Servacius Likwelile Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali na
ujumbe kutoka Tanzania wakiwa katika majadiliano na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia wa
kundi namba 1 Afrika Bw. Louis Rene Peter Larose anayezungumza katika mikutano
ya mwaka ya Benki ya dunia. Picha Ingiahedi Mduma na Eva Valerian
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...