Mwenyekiti wa taasisi ya Muzdalifa Shekh Abdalla Hadhar Abdalla akimkabidhi Mchele Afisa msaidizi wa kambi ya wahanga wa mafuriko Makame Khatibu Makame iliopo Skuli ya Mwanakwerekwe C Mjini Zanzibar.
Afisa msaidizi wa Kambi ya Mafuriko iliyopo Skuli ya Mwanakwerekwe C Makame Khatib Makame, akitoa shukrani kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Muzidalifa Shekh Abdalla Hadhar Abdalla kwa msaada waliowatia.
Baadhi ya Misaada mbalimbali iliyotolewa na Taasisi ya Muzdalifa.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...